Monday, April 30, 2012

NYUMBA HII INAPANGISHWA KWA SH,10,000 KWA MWEZI


Hii ndiyo nyumba ama Bweni la wasichana wa Shule ya Sekondari ya Kata  ya Mazae, iliyopo Wilayani Mpwapwa, ambayo kila mwanafunzi anayepanga katika jengo hili hulipa Sh. 10,000 kwa mwezi, sasa hali ya nyumba kama hii kama ni hivi je vipi suala zima la afya ikiwa ni pamoja na Choo na usalama wa wanafunzi hao na mali zao??, na kama mwanafunzi anapanga katika jengo hili na kulipa kiasi hicho cha fedha ni kwa nini asitokee tu nyumbani
 HAPA WANAFUNZI HUJISOMEA KWELI USIKU?

No comments:

Post a Comment