Press Co imekwisha Waziri Nundu kashuka na hoja 10 za nguvu zifuatazo.
1. Ujenzi wa Gati No 12 na 14.
TPA wanaipigia chapuo kampuni CCC ya Uchina kujenga kwa gharama za mkopo
wa dola appx 600 toka Exim Bank ya China. Waziri Nundu amekiri
kuingilia kati sio mpaka sebulen bali hadi chooni kwenye uchafu
wenyewe!.
Hiyo kampuni ya CCC ilipatikanaje?.
Waliofanya feasibility study ni hao hao CCC wanaotaka kujenga ni hao hao
CCC na mkopo walioomba toka benki ya Exim ya China ni hao hao CCC.
Waziri amepinga kwa kutaka ushindani wa wazi!. Wenzetu Mombasa wamejenga
gati kama hizo kwa less than 200 millions, kwa nini sisi tujenge kwa
dola milioni 600 tena bila ushindani wa wazi, why?.
2.2. Baada ya kuona waziri anawakwamisha CCC wakaamua kuyapitishia
madudu yao kwa Naibu waziri. wakampa paid trips kutembelea miradi
mbalimbali ya CCC duniani pote, Naibu waziri yeye hana bei, akaingia
kichwa kichwa kuwa kuwadi wao. Alianza kupigwa trips za nje ya nchi bila
kibali cha waziri wake, kwa lugha nyingine ni uwezekano wa Ikulu
kuhusika kwa Naibu Waziri huyo kusafiri nje ya nchi bila waziri kujua.
Mazingira ya safari hizo za naibu waziri zina viashiria vyote vya rushwa
ya "free bees" under pretex ya "facility visit" under transparency
lazima Naibu Waziri aseme amelipwa shin ngapi amesafirishwa tiketi za
ndege za daraja gani na alifikia hoteli za nyota ngapi?.
Wachini huwa hawasafiri 1st Class, hawalipani per diem nono wala hawakai
hoteli ya nyota 5!, ila makampuni yamayo sololea tenda, huwalipa
maofisa wa nchi per diem nene, kuwasafirisha kwa 1st class na kuwalaza
hoteli za nyota 5!.
No comments:
Post a Comment