
Askari
wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakitoa heshima kwenye mnara wa
kumbukumbu ya Mashujaa katika viwanja vya mnazi mmoja leo ikiwa ni
sehemu ya maandalizi ya sherehe za maadhimisho ya kumbukumbu ya
mashujaa.

Askari
Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) watakaoshiriki kwenye gwaride
wakati wa maadhimisho ya siku ya mashujaa wakiendelea na mazoezi katika
viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar es salaam.

Mkuu
wa mkoa wa Dar es salaam Saidi Meck Sadiki (katikati) akiongea na
waandishi wa habari Katika viwanja vya Mnazi mmoja leo jijini Dar es
Salaam kueleza namna mkoa ulivyojipanga kufanikisha sherehe za
maadhimisho ya siku ya mashujaa itakayofanyika kitaifa tarehe 25, Julai
2012 katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es salaam
Balozi Khalfan Juma Mpango kutoka Kongo
No comments:
Post a Comment